Beki wa Tanzania, Stumai Abdallah akimtoka mchezaji wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Horinela Salu katika mchezo wa kufuzu Olimpiki 2020 Wanawake jana Uwanja wa Taifa Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 2-2
Mwanahamisi Omar 'Gaucho' wa Twiga Stars wakiwatoka wachezaji wa DRC, Exaucee Ndjoli na Emelaude Muyenga
Mfungaji wa bao la kusawazisha la Twiga Stars, Asha Rashid 'Mwalala' akimiliki mpira mbele ya beki wa DRC, Natacha Bakonga
Kikosi cha Twiga Stars kabla ya mchezo wa jana uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Kikosi cha DRC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Twiga Stars uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Taifa
'White Lotus' star Jason Isaacs reflected on managing money 'immaturely.' A
financial planner breaks down how to avoid doing the same.
-
Jason Isaacs said he's spent "pretty much everything" he's earned as a TV
and movie star. A financial planner told BI how to avoid lifestyle creep.
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment