Beki wa Tanzania, Stumai Abdallah akimtoka mchezaji wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Horinela Salu katika mchezo wa kufuzu Olimpiki 2020 Wanawake jana Uwanja wa Taifa Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 2-2
Mwanahamisi Omar 'Gaucho' wa Twiga Stars wakiwatoka wachezaji wa DRC, Exaucee Ndjoli na Emelaude Muyenga
Mfungaji wa bao la kusawazisha la Twiga Stars, Asha Rashid 'Mwalala' akimiliki mpira mbele ya beki wa DRC, Natacha Bakonga
Kikosi cha Twiga Stars kabla ya mchezo wa jana uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Kikosi cha DRC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Twiga Stars uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Taifa
How Chelsea's worried owners cranked up the pressure on boss Enzo Maresca
after another ill-tempered defeat by Brighton
-
KIERAN GILL: Maresca took nearly an hour to come to his press conference
after losing to Brighton, with his side reduced to 10 men for the second
successiv...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment