Refa Mike Dean akimuonyesha kadi nyekundu winga wa Manchester United, Ashley Young baada ya kumchezea rafu Diogo Jota wa Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya Wolverhampton yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 25 na Chris Smalling aliyejifunga dakika ya 77, wakati la Man United lilifungwa na Scott McTominay dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlson 'ready' to lead promoted Glamorgan
-
Glamorgan batter Kiran Carlson says he is ready to captain the promoted
Championship side if called on, after the departure of Sam Northeast back
to his na...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment