Pedro akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao muhimu la ugenini la kusawazisha dakika ya 45 kufuatia Luka Jovic kuifungia la kuongoza Eintracht Frankfurt dakika ya 23 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt. Timu hizo zitarudiana Mei 9, Chelsea ikihitaji ushindi au sare ya 0-0 kwenda fainali ambako itakutana na mshindi kati ya Arsenal na Valencia Mei 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Angel Reese stuns in houndstooth matching jacket and mini skirt for Atlanta
Dream debut
-
Angel Reese was traded to the Atlanta Dream in last month.
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment