Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya kukosa bao la wazi timu yake ikilazimishwa sare ya 0-0 na Slavia Praha katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza nyumbani tangu Februari 2018 ambayo inazidi kumuweka katika wakati mgumu kocha Ernesto Valverde PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hansen & Prendergast start for Ireland v Australia
-
Mack Hansen returns from injury to be named at full-back for Ireland's
match against Australia, while Sam Prendergast is selected at fly-half.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment