Mshambuliaji Muargentina, Odion Ighalo akiwa ameshika jezi ya Manchester United baada ya kutimiza ndoto za kujiunga nayo kwa mkopo kwa dau la Pauni Milioni 4 kutoka Shanghai Shenhua ya China. Ighalo ambaye amesema yeye ni 'shabiki kufa' wa United tangu akiwa mdogo kwao, Nigeria enzi hizo klabu hiyo inaongozwa na mshambuliaji, Andy Cole atakuwa analipwa Pauni 165,000 kwa wiki, nusu tu ya mshahara wake wa China, Paun 330,000 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Marlins coach caught calling his OWN PLAYER a 'ginger f***' in
bizarre hot mic moment on live TV
-
A Marlins assistant coach had an explicit way of congratulating one of his
players on Sunday as he was heard playfully cursing at a Miami star
following a ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment