Gabriel Jesus (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee dakika ya 80 ikiilaza Leicester City 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power leo. Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na Kasper Schmeichel, wakati Leicester walilalamika kunyimwa penalti mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary O'Neil OUT of race to become Wolves boss as senior stars and fans
express doubts over his return - and Championship manager emerges as
contender
-
TOM COLLOMOSSE: Despite being sacked only 11 months ago, the 42-year-old
held positive talks with Wolves hierarchy earlier on Monday about replacing
Vitor ...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment