Wachezaji wa Arsenal wakipongezana baada ya ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya England tangu waifunge Manchester United siku ya mwaka mpya, kufuatia kuichapa Newcastle United 4-0 jana mabao ya Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 54, Nicolas Pepe dakika ya 57, Mesut Ozil dakika ya 90 na Alexandre Lacazette dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emotional Liverpool legend Graeme Souness on the verge of tears as he opens
up about supporting 'beautiful' young girl, 13, with 'the cruellest' skin
condition
-
The Scotsman appeared on Good Morning Britain with hosts Susanna Reid and
Ed Balls to discuss the skin condition epidermolysis bullosa.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment