Wachezaji wa Arsenal wakipongezana baada ya ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya England tangu waifunge Manchester United siku ya mwaka mpya, kufuatia kuichapa Newcastle United 4-0 jana mabao ya Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 54, Nicolas Pepe dakika ya 57, Mesut Ozil dakika ya 90 na Alexandre Lacazette dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment