Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 81 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Olympiakos Piraeus usiku wa jana Uwanja wa Georgios Karaiskaki, Pireas nchini Ugiriki kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora UEFA Europa League. Timu hizo zitarudiana Februari 27 London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary O'Neil OUT of race to become Wolves boss as senior stars and fans
express doubts over his return - and Championship manager emerges as
contender
-
TOM COLLOMOSSE: Despite being sacked only 11 months ago, the 42-year-old
held positive talks with Wolves hierarchy earlier on Monday about replacing
Vitor ...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment