WACHEZAJI WA SIMBA WAKIJIFUA TAYARI KUWAVAA LIPULI FC KESHO UWANJA WA SAMORA
Kiungo wa Simba SC, Deogratius Kanda (katikati) akimlamba chenga beki Yussuf Mlipili mazoezini Uwanja wa Samora mjini Iringa jana kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya wenyeji, Lipuli FC
Wachezaji wa Simba wakiwa mazoezini Uwanja wa Samora mjini Iringa jana kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya wenyeji, Lipuli FC
Hodgkinson eases to victory in 800m heat
-
Great Britain's Keely Hodgkinson wins her 800m heat to ease into the
semi-finals of the women's 800m at the World Athletics Championships in
Tokyo.
0 comments:
Post a Comment