Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Napoli waliotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 30 katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo Jijini Napoli. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tirico and Cris Collinsworth send emotional tribute to NBC colleague
who fell 50ft from scoreboard in Pittsburgh
-
Over a week after a 'Sunday Night Football' colleague suffered a terrifying
fall before a game in Pittsburgh, NBC Sports' Mike Tirico and Cris
Collinsworth...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment