Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Napoli waliotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 30 katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo Jijini Napoli. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moment motorbiking ace Marc Marquez suffering spectacular cartwheeling Moto
GP crash as he breaks foot when thrown off bike
-
The 33-year-old Spaniard was launched into the air after losing control at
Turn 14 on the penultimate lap, with his Ducati machine somersaulting
across the...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment