Kiungo wa Manchester United, Frederico Rodrigues Santos 'Fred' akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu hiyo dakika za 82 na 90 katika ushindi wa 5-0 Uwanja wa Old Trafford usiku wa jana dhidi ya Club Brugge KV kwenye mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora UEAFA Europa League. Mabao mengine ya Manchester United yalifungwa na Bruno Fernandes kwa penalti dakika ya 27, Odion Ighalo dakika ya 34 na Scott McTominay dakika ya 41 na kwa ushindi huo Mashetani Wekundu wanatinga 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa 6-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Ubelgiji PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment