Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 33 kabla ya Sergi Roberto kufunga la pili dakika ya 39 katika ushindi wa 2-1 leo dhidi ya Getafe ambayo bao lake limefungwa na Angel Rodriguez dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Ushindi huo unaifanya Barca ifikishe pointi 52 katika mchezo wa 24, sawa na Real Madrid yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment