Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 33 na 46 kufuata Eddie Nketiah kufunga la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Everton, ambayo mabao yake yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya kwanza na Richarlison dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment