Wachezaji wa Borussia Dortmund wakimpongeza mwenzao Erling Haaland baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 69 na 77 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris Saint-Germain usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ta Mabingwa Ulaya. Bao pekee la Paris Saint-Germain lilifungwa Neymar dakika ya 75 na sasa timu hizo zitarudana Machi 11 Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool feelings won't change, says Alexander-Arnold
-
Trent Alexander-Arnold says his feelings for Liverpool will not be affected
by the reception he receives on Tuesday's Anfield return with current side
Real...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment