Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 51 na 54 kabla ya Robert Lewandowski kufunga la tatu dakika ya 76 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London, kwenye mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Jijini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Jamie Melham went from 'little fat kid' to winning the Melbourne Cup
after battling back from white powder and Covid scandals
-
Jamie Melham will forever be etched in Australian racing record books
following her triumph in the Melbourne Cup on board Half Yours - but it
could have be...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment