Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 78 hilo likiwa bao lake la 100 England katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 76 katika mchezo wa 26 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 25 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary O'Neil OUT of race to become Wolves boss as senior stars and fans
express doubts over his return - and Championship manager emerges as
contender
-
TOM COLLOMOSSE: Despite being sacked only 11 months ago, the 42-year-old
held positive talks with Wolves hierarchy earlier on Monday about replacing
Vitor ...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment