MAZOEZI YA YANGA SC KUJIANDAA NA MCHEZO WA LIG KUU DHIDI YA TANZANIA PRISONS KESHO TAIFA
Kiungo Mghana wa Yanga, Bernard Morrison akiwaongoza wenzake mazoezini jana mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons kesho Saa 1:00 usiku Uwanja wa Taifa
Kiungo Abdulaziz Makame akijifua na wenzake mazoezini jana mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons kesho Saa 1:00 usiku Uwanja wa Taifa
0 comments:
Post a Comment