Youssef El-Arabi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Olympiacos dakika ya 119 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates Jijini London. Olympiacos ilitangulia kwa bao la Pape Abou Cissé dakika ya 53, kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazshia Arsenal dakika ya 113, hivyo kufanya matokeo ya jumla kuw asare ya 2-2 na baada ya Washika Bunduki wa London kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza ugenini, lakini timu ya Ugiriki inasonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Jamie Melham went from 'little fat kid' to winning the Melbourne Cup
after battling back from white powder and Covid scandals
-
Jamie Melham will forever be etched in Australian racing record books
following her triumph in the Melbourne Cup on board Half Yours - but it
could have be...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment