Hans Hateboer akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Atalanta mabao mawili dakika ya 16 na 62 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic dakika ya 42 na Remo Freuler dakika ya 57, wakati la Valencia lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 66 na timu hizo zitarudiana Machi 10 Uwanja wa Mestalla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary O'Neil OUT of race to become Wolves boss as senior stars and fans
express doubts over his return - and Championship manager emerges as
contender
-
TOM COLLOMOSSE: Despite being sacked only 11 months ago, the 42-year-old
held positive talks with Wolves hierarchy earlier on Monday about replacing
Vitor ...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment