Kiungo wa Manchester City, Fernandinho akimfukuzia winga wa Bayern Munich, Franck Ribery katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa kuamkia leo Uwanjja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Ikicheza chini ya kocha mpya, Carlo Ancelotti kwa mara ya kwanza, Bayern iliifunga 1-0 Man City iliyocheza kwa mara ya kwanza pia chini ya kocha mpya, Pep Guardiola, bao pekee la Erdal Ozturk dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Las Vegas Aces’ ‘crown is getting heavier’ in disappointing opening loss to
Mercury
-
LAS VEGAS — The 2025 season was proof that the Las Vegas Aces, and this
core in particular, know how to flip the switch. The Aces fell to .500 with
one mon...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment