Kiungo wa mabingwa wa England, Leicester City, Danny Drinkwater akiumiliki mpira wa juu kwa ustadi katikati ya wachezaji wa Oxford United usiku wa Jumaanne Uwanja wa Kassam katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya. Leicester ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Demarai Gray dakika ya 28, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Chris Maguire kutangulia kuifungia Oxford na Jeffrey Schlupp dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
College football hall of famer and Chargers hero Woodrow Lowe dead at 71
-
His brother Eddie, mayor of Phenix City in Alabama, confirmed the news of
his passing, telling AL.Com : 'Woodrow was a great older brother. He was a
very g...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment