Kiungo Nampalys Mendy akiwa ameshika skafu ya mabingwa wa England, Leicester City baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 13 kutoka Nice ya Ufaransa, huyo akiwa mchezaji wa nne kusajiliwa na kocha Claudio Ranieri anayesuka kikosi cha Ligi ya Mabingwa, baada ya awali kuwasajili Ron-Robert Zieler, Luis Hernandez na Raul Uche Rubio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal coach identifies key reason for u18s defeat to Reading
-
The young Gunners improved after half-time and pulled one back through
Louis Zecevic John, but Reading held on for a 2-1 win.Photo by Lewis
Storey/Getty Im...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment