Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na West Ham, Msenegali Demba Ba (kulia), anayechezea Shanghai Shenhua kwa sasa akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu mbaya na Nahodha wa Shanghai SIPG, Sun Xiang Jumapili katika mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu ya China Jumapili. Katika mchezo huo, ambao Shenhua walishinda 2-1, Ba alivunjika mguu na kwa sasa amelazwa hospitali China huku taarifa zikisema atakuwa nje ya Uwanja kwa muda usipungua miezi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The personal tragedy that still shakes Cristiano Ronaldo: How chaotic, 'no
dignity' funeral of the alcoholic father he 'didn't really know' led him to
skip Diogo Jota's goodbye for yacht holiday
-
Cristiano Ronaldo has almost completed football, but there is a hole in his
heart no trophy will ever fill.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment