Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na West Ham, Msenegali Demba Ba (kulia), anayechezea Shanghai Shenhua kwa sasa akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu mbaya na Nahodha wa Shanghai SIPG, Sun Xiang Jumapili katika mchezo wa mahasimu wa Ligi Kuu ya China Jumapili. Katika mchezo huo, ambao Shenhua walishinda 2-1, Ba alivunjika mguu na kwa sasa amelazwa hospitali China huku taarifa zikisema atakuwa nje ya Uwanja kwa muda usipungua miezi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This is the unbelievable moment an injured serpent eagle flew into a MOVING
car as the driver was filming a holiday vlog.
-
A vlogger filming in Tanay, Rizal, Philippines was stunned when an injured
serpent eagle flew through an open window and into his moving car during
his fir...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment