Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Robert Lewandowski wa tatu baada ya kuwafungia mabao yote katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya PSV ya Uholanzi kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la PSV lilifungwa na Santiago Arias na kwa ushindi huo Bayern inakwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hulk Hogan's devastated friends and family gather for WWE legend's funeral
after his death
-
Hulk Hogan, real name Terry Bollea, died from a cardiac arrest on July 24
and was also fighting leukemia at the time of his passing. He had been
taken ill ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment