Wachezaji wa Manchester City, kiungo David Silva (kushoto) na beki John Stones (katikati) wakifurahia wakati wanaungana na Kevin De Bruyne (kulia) kushngilia naye wakati wa mechi ya Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Barcelona ya Hispania usiku huu Uwanja wa Etihad. Mabao ya City yalifungwa na Ilkay Gundogan mawili na Kevin De Bruyne moja, wakati la Man City lilifungwa na Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wednesday, November 02, 2016
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment