Ander Herrera akimrukia Zlatan Ibrahimovic kumpongeza baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 15, 75 na 88 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya St-Etienne usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Europa League PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Newcastle United set for major scouting changes
-
Recruitment Reset at St James’ ParkNewcastle Utd are entering another phase
of strategic change behind the scenes, with Shola Ameobi stepping away from
his...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment