Frank Kessie akishangilia na mchezaji mwenzake, Patrick Cutrone baada ya wote kufunga katika ushindi wa AC Milan wa 4-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana Uwanja wa Shenzhen Universiade Sports Centre mjini Shenzhen katika mchezo wa kirafiki. Kessie alifunga dakika ya 14, Cutrone dakika za 25 na 43, wakati bao la nne lilifungwa na Hakan Calhanoglu dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James McClean confirms he DID throw a punch at Cardiff fan...and reveals why
-
Wrexham star James McClean has confirmed he threw a punch at a Cardiff fan
in self-defence before last week's all-Wales encounter in the Carabao Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment