Frank Kessie akishangilia na mchezaji mwenzake, Patrick Cutrone baada ya wote kufunga katika ushindi wa AC Milan wa 4-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana Uwanja wa Shenzhen Universiade Sports Centre mjini Shenzhen katika mchezo wa kirafiki. Kessie alifunga dakika ya 14, Cutrone dakika za 25 na 43, wakati bao la nne lilifungwa na Hakan Calhanoglu dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why this photo signalled the beginning of the end for Simon Goodwin at the
Melbourne Demons
-
Goodwin took the Dees to victory in the 2021 grand final, giving the
storied club its first premiership since 1964 - but it wasn't enough to
save his job o...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment