Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hulk Hogan's estranged daughter Brooke reveals why she snubbed WWE legend's
funeral
-
Hogan's devastated friends and family gathered at the Indian Rocks Baptist
Church in Largo, Florida to say their final goodbyes to the WWE legend
after his...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment