Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What we learned from the first half of the NFL season
-
With half of the NFL season in the books we look at what we learned from
the first nine weeks, who the biggest surprises and disappointments are and
how th...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment