Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akiruka juu kwa furaha baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus, tena bao la pili akifunga yeye mwenyewe dakika ya 26 usiku wa jana Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao la Juve limefungwa na beki Mtaliano Giorgio Chiellini dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi makes more MLS history as fastest player to 100 goals and
assists
-
Lionel Messi moved his career MLS totals to 59 goals and 41 assists in
Inter Miami's win, becoming the fastest player ever to 100 goal
contributions.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment