Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 27, 31 na 81 Manchester City ikishinda 6-0 dhidi ya wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 37, Nicolas Otamendi dakika ya 63 na Raheem Sterling dakika ya 89 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nottingham Forest star Morgan Gibbs-White aims dig at former manager Ange
Postecoglou by insisting 'he can finally breathe' under Sean Dyche after
horror 39-DAY spell
-
Owner Evangelos Marinakis made the seismic decision to sack manager Nuno
Espirito Santo amid public tension after just three games, before
installing Ange ...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment