Mario Balotelli akikimbia na mpira baada ya kuifungia timu yake, Nice kwa penalti dakika ya 39 katika sare ya 2-2 na Angers usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice katika mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa. Bao lingine la Nice Ismael Traore alijifunga dakika ya 76, wakati mabao ya Angers yamefungwa na Mateo Pavlovic dakika ya 12 na Karl Toko Ekambi dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Ruben Amorim got one over Arne Slot with tactical sleight of hand: FIVE
THINGS WE LEARNED from Man United's dramatic 2-1 win over Liverpool
-
Ruben Amorim has back-to-back wins in the Premier League for the first time
in his 12 months in charge at Manchester United, and what a place to do it.
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment