Mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Ashley Young baada ya kufunga mabao mawili dakika za nne na 26 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, CSKA Moscow kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa VEB Arena mjini Moscow. Anthony Martial alifunga bao la pili dakika ya 18 kwa penalti baada ya Henrikh Mkhitaryan aliyefunga bao la nne dakika ya 57 kuchezewa rafu kwenye boksi na la nne wakati bao la wenyeji, lilifungwa na Konstantin Kuchaev dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police deploy 700 officers, drones, dogs and horses - and make stadium a
no-fly zone - in huge operation to stop unrest at Aston Villa vs Maccabi
Tel Aviv after Israeli fans were BANNED
-
West Midlands Police will also deploy drones, dogs, horses and 'protest
liaison officers' at a match from which away fans are banned. A no-fly zone
will al...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment