Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur katika ushindi wa 4-0 leo dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Ben Davies na Moussa Sissoko PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment