Bondia Joseph Parker akifurahia na mkanda wake wa WBO uzito wa juu baada ya kuutetea kufuatia kumshinda Hughie Fury kwa pointi usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena katika pambano la raundi 12. Fury ni mpwa wa bingwa wa zamani wa dunia uzito wa juu kabisa, Tyson Fury ambaye alikuwepo Manchester Arena jana na akaleta fujo akidai kijana wake amedhulumiwa ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Qarabag vs Chelsea - Champions League: Live score, team news and updates as
Enzo Maresca rings the changes for long trip to Azerbaijan
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Azerbaijani side Qarabag host Chelsea at Tofiq Bahramov Stadium
in the C...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment