Bondia Joseph Parker akifurahia na mkanda wake wa WBO uzito wa juu baada ya kuutetea kufuatia kumshinda Hughie Fury kwa pointi usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena katika pambano la raundi 12. Fury ni mpwa wa bingwa wa zamani wa dunia uzito wa juu kabisa, Tyson Fury ambaye alikuwepo Manchester Arena jana na akaleta fujo akidai kijana wake amedhulumiwa ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Simple photos sum up why eight million people are FURIOUS about State of
Origin
-
The NSW Blues came tantalisingly close to pulling off their biggest Origin
comeback ever in Perth on Wednesday night - but the close loss wasn't the
only t...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment