Bondia Joseph Parker akifurahia na mkanda wake wa WBO uzito wa juu baada ya kuutetea kufuatia kumshinda Hughie Fury kwa pointi usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena katika pambano la raundi 12. Fury ni mpwa wa bingwa wa zamani wa dunia uzito wa juu kabisa, Tyson Fury ambaye alikuwepo Manchester Arena jana na akaleta fujo akidai kijana wake amedhulumiwa ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Are fans mocking two-time NBA champion for Victor Wembanyama Lakers trade
from Spurs
-
Los Angeles Lakers broadcaster and two-time NBA champion Mychal Thompson
suggested a bolt from the blue on Friday that the San Antonio Spurs might
trade st...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment