Michy Batshuayi akitabasamu baada ya kukutana na wachezaji wa zamani wa Chelsea, Fernando Torres (kushoto) na Diego Costa (kulia) jana mjini Madrid baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana. Torres anachezea Atletico kwa sasa, wakati Costa anakamilisha utaratibu wa kurejea timu yake hiyo zamani kufuatia kutofautiana na kocha wa Chelsea, Antonio Conte PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield Wednesday stars issue desperate plea amid 'extreme concern' over
financial turmoil at striken Championship club - with fears they will NOT
be able to play the opening game of the season
-
In a forthright message the group - hit by ongoing wage delays amid
financial troubles - have also explained their decision to withdraw from
the friendly w...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment