Michy Batshuayi akitabasamu baada ya kukutana na wachezaji wa zamani wa Chelsea, Fernando Torres (kushoto) na Diego Costa (kulia) jana mjini Madrid baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Atletico Madrid usiku wa jana. Torres anachezea Atletico kwa sasa, wakati Costa anakamilisha utaratibu wa kurejea timu yake hiyo zamani kufuatia kutofautiana na kocha wa Chelsea, Antonio Conte PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment