Mshambuliaji mpya, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 20 kati ya mawili aliyofunga, lingine dakika ya 67 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Ruben Amorim got one over Arne Slot with tactical sleight of hand: FIVE
THINGS WE LEARNED from Man United's dramatic 2-1 win over Liverpool
-
Ruben Amorim has back-to-back wins in the Premier League for the first time
in his 12 months in charge at Manchester United, and what a place to do it.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment