Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na Gareth Bale baada ya kufunga bao la pili la Real Madrid dakika ya 49 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal Iduna Park mjini Dortmund. Bale aliyetoa pasi la bao la pili, ndiye aliyefunga bao la kwanza dakika ya 18, wakati Ronaldo alifunga na la tatu pia dakika ya 79 na Pierre-Emerick Aubameyang akawafungia wenyeji la kufutia machozi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Move aside, Luiz and Lehmann! Introducing football's glamorous new POWER
couple who sparked up a romance at the same Premier League club
-
For a long time Alisha Lehmann and Douglas Luiz represented football's most
prominent power couple - but their break up has paved the way for another
duo t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment