Winga wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 90 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Shakhtar Donetsk usiku wa jana Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la City lilifungwa na Kevin de Bruyne dakika ya 48, wakati Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na kipa Andriy Pyatov dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment