Winga wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 90 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Shakhtar Donetsk usiku wa jana Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la City lilifungwa na Kevin de Bruyne dakika ya 48, wakati Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na kipa Andriy Pyatov dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James McClean confirms he DID throw a punch at Cardiff fan...and reveals why
-
Wrexham star James McClean has confirmed he threw a punch at a Cardiff fan
in self-defence before last week's all-Wales encounter in the Carabao Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment