Wissam Ben Yedder akishangilia baada ya kufunga mabao yote matatu peke yake dakika 27, 38 na 83 kwa penalti katika ushindi wa Sevilla wa 3-0 dhidi ya Maribor kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla, Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment