Raheem Sterling akinyoosha vidole juu baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 51 na 59 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 44, Sergio Aguero dakika ya 79 na Fabian Delph dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Ruben Amorim got one over Arne Slot with tactical sleight of hand: FIVE
THINGS WE LEARNED from Man United's dramatic 2-1 win over Liverpool
-
Ruben Amorim has back-to-back wins in the Premier League for the first time
in his 12 months in charge at Manchester United, and what a place to do it.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment