Mshambuliaji mpya wa Chelsea, Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao matatu dakika za pili, 77 na 82 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bet365. Bao lingine la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chicago Bears star's dad demands his son be traded before NFL deadline
-
With a few hours remaining until the NFL trade deadline, players are on
edge to see if they may be moved. One star wide receiver's father is hoping
that ha...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment