Michy Batshuayi (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea dakika ya 90 na ushei wakiwalaza 2-1 wenyeji, Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Antoine Griezmann alianza kuwafungia wenyeji kwa penalti dakika ya 4-, baada ya beki David Luiz kumvuta jezi Lucas kwenye boksi, kabla ya Alvaro Morata kuisawazishia The Blues dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Ruben Amorim got one over Arne Slot with tactical sleight of hand: FIVE
THINGS WE LEARNED from Man United's dramatic 2-1 win over Liverpool
-
Ruben Amorim has back-to-back wins in the Premier League for the first time
in his 12 months in charge at Manchester United, and what a place to do it.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment