Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za tisa na 22 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, BATE Borisov kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku huu Uwanja wa Borisov Arena. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Rob Holding dakika ya 25 na Olivier Giroud dakika ya 49 kwa penalti wakati mabao ya BATE yamefungwa na Mirko Ivanic dakika ya 28 na Mikhail Gordelchuk dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield Wednesday stars issue desperate plea amid 'extreme concern' over
financial turmoil at striken Championship club - with fears they will NOT
be able to play the opening game of the season
-
In a forthright message the group - hit by ongoing wage delays amid
financial troubles - have also explained their decision to withdraw from
the friendly w...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment