Mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe Donald Ngoma akipiga shuti mbele ya beki wa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Mfungaji wa bao pekee la Yanga jana, Ibrahim Hajib akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Ndanda
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akimpita mchezaji wa Ndanda jana 
Beki wa Yanga, Gardiel Michael (katikati) akimdhibiti mshambuliaji wa Ndanda
Kikosi chaYanga katika mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Kikosi cha Ndanda kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
How Athletic Club's unique player policy drives success
                      -
                    
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only 
Basque players, how this approach has brought success, and the importance 
of the...
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment