Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Philippe Coutinho baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika ya 32 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Spartak Moscow kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moskva. Spartak Moscow walitangulia kwa bao la Fernando dakika ya 23, kabla ya refa kukataa bao la Sadio Mane dakika mbili baadaye akidai alikuwa amezidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Ruben Amorim got one over Arne Slot with tactical sleight of hand: FIVE
THINGS WE LEARNED from Man United's dramatic 2-1 win over Liverpool
-
Ruben Amorim has back-to-back wins in the Premier League for the first time
in his 12 months in charge at Manchester United, and what a place to do it.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment