Paulinho akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Getafe 2-1 Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez katika mchezo wa La Liga. Gaku Shibasaki alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 39 kabla ya Denis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Bittersweet day' - but what next for Sheff Wed after administration?
-
Manager Henrik Pedersen calls for a "new Sheffield Wednesday with an old
heart" as a fan group contemplates a potential takeover.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment