Wayne Rooney akiwafokea wachezaji wenzake, baada ya timu yao, Everton kufungwa bao la tatu kabla ya mapumziko katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi E Ligi ya Ulaya jana Uwanja wa MAPEI mjini Citta del Tricolore, Reggio nell'Emilia wakilala 3-0 ugenini Italia. Mabao ya Atalanta yamefungwa na Andrea Masiello dakika ya 27, Alejandro Gomez dakika ya 41 na Bryan Castante dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League forced into making a major VAR change for West Ham clash
with Brentford due to AWS outage
-
The company's Web Services cloud computing service - which powers much of
the infrastructure behind many websites - continues to challenge its users,
with ...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment