Nyota wa Brazil wanaocheza Ligi Kuu ya England, Philippe Coutinho, Fernandinho, Gabriel Jesus, Ederson na Roberto Firmino wakiwa kwenye ndege jana usiku kurejea kwenye klabu zao baada ya kuichezea timu yao ya taifa katika mechi mbili mfululizo za kufuzu Kombe la Dunia ikishinda 2-0 dhidi ya Ecuador Ijumaa nyumbani kabla ya kwenda kulazimisha sare ya 1-1 ugenini na Colombia jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two-time Cox Plate champion dies just days before the race he dominated:
'You don't get any better than him'
-
The Australian racing industry is in mourning following the death of a
two-time Cox Plate winner. It comes just days before the staging of the
2025 race at...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment