Neymar Junior, Kylian Mbappe na Edinson Cavani wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 6-2 wa Paris Saint-Germain dhidi ya Bordeaux kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaranda Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Neymar alifunga dakika ya tano na 40 kwa penalti, wakati Cavani alifunga dakika ya 12 na Mbappe dakika ya 58. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Thomas Meunier dakika ya 21 na Julian Draxler dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dad pays a heartwarming tribute to teenager who was killed in freak cricket
accident - but what happened next will make your blood boil
-
A father has called for 'respect' in the community after his tribute to
cricketer Ben Austin came to an outrageous end.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment