Neymar Junior, Kylian Mbappe na Edinson Cavani wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 6-2 wa Paris Saint-Germain dhidi ya Bordeaux kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaranda Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Neymar alifunga dakika ya tano na 40 kwa penalti, wakati Cavani alifunga dakika ya 12 na Mbappe dakika ya 58. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Thomas Meunier dakika ya 21 na Julian Draxler dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rio Ngumoha, 16, scores stunning goal two minutes into Anfield debut as
Liverpool teenager continues eye-catching pre-season
-
Liverpool youngster Rio Ngumoha maintained his impressive pre-season form
by opening the scoring within two minutes of his Anfield debut.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment