Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib (kulia) akiondoka na mpira dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Mshambuliaji chipukizi wa Yanga, Yohanna Oscar Nkomola akiwatoka mabeki wa Ruvu Shooting
Beki wa Yanga, Mwinyi Hajji Mngwali akimpita mshambuliaji wa Ruvu, Abdurahman Mussa aliyelala kujaribu kuokoa
Beki wa Yanga, Hassan Kessy akimpita beki wa Ruvu, Mau Bofu
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimtoka beki wa Ruvu, Rajab Zahir
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akimuacha chini beki wa Ruvu
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akiwatoka wachezaji wa Ruvu
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimpita Rajab Zahir
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu jana
Kikosi cha Ruvu Shooting katika mchezo wa jana
Donald Trump makes stunning flyover for first NFL visit of the season...
hours after it emerged he wants $3.7bn new stadium named after him
-
Trump was seen arriving at the Commanders' showdown with the Lions just
hours after it emerged he wants the Washington team to name their new
$3.7billion s...
10 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment