Chris Smalling akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Man City ilitangulia kwa mabao ya Vincent Kompany dakika ya 25 na Ilkay Gundogan dakika ya 30, kabla ya Paul Pogba kuifungia mabao mawili Man United ya kusawazisha dakika za 53 na 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A cultural revolution? Trump’s America feels oddly familiar to those
watching from China
-
Demands of absolute loyalty and attacks on institutions have raise memories
of Mao-style chaos from US watchers in China
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment